Tangu 2024, serikali ya shirikisho imezindua sera kadhaa zaku zuia idadi ya wanafunzi wakimataifa, pamoja naku ongeza ada ya maombi ya viza ya wanafunzi na, kupunguza kasi muda wa usindikaji wa viza.
Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Sheria mpya zina athiri sana sekta huru ya elimu inayo toa mafunzo ya Kiingereza na elimu ya ufundi kwa wanafunzi wa kimataifa, na kusababisha baadhi ya taasisi hizo kufungwa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





