Amy alidhani amepata kazi kama mwanafunzi wa kimataifa- alikuwa amekosea

Notebook with a pen on a table in a classroom at a school

Notebook with a pen on a table in a classroom at a school Source: Moment RF / Antonio Hugo Photo/Getty Images

Tangu 2024, serikali ya shirikisho imezindua sera kadhaa zaku zuia idadi ya wanafunzi wakimataifa, pamoja naku ongeza ada ya maombi ya viza ya wanafunzi na, kupunguza kasi muda wa usindikaji wa viza.


Sheria mpya zina athiri sana sekta huru ya elimu inayo toa mafunzo ya Kiingereza na elimu ya ufundi kwa wanafunzi wa kimataifa, na kusababisha baadhi ya taasisi hizo kufungwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Amy alidhani amepata kazi kama mwanafunzi wa kimataifa- alikuwa amekosea | SBS Swahili