Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je wahamiaji na wakimbizi wanahisi wanakaribishwa katika miji yakikanda?

Msanii kutoka Burundi Foi na rafiki zake kutoka Albury-Wodonga

Msanii kutoka Burundi Foi na rafiki zake kutoka Albury-Wodonga Source: MK

Kifaa kipya kime undwa kwa ajili yakusaidia kuwavutia wafanyakazi ambao ni wahamiaji katika maeneo ya kikanda.


Emmanuel Musoni ni mwenyekiti wa shirika la GLAPD International, alifanya utafiti naku tengeza kifaa hicho, ambacho kitatumiwa na jamii za kandani na vijijni, pamoja na mashirika yanayo toa misaada kwa wahamiaji na wakimbizi kurahisisha mchakato wauhamisho wa wahamiaji na wakimbizi katika maeneo yakikanda na vijijini.

Bw Musoni alieleza SBS Swahili kuhusu changamoto zakuandaa kifaa hicho pamoja na matarajio yake kwa watakao kitumia.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now