Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Sheria mpya za Australia kupiga marufuku kwa muda baadhi ya watu kuingia nchini za kosolewa

New Farmers visa looks like 457 Visa?

Source: SBS

Serikali ya shirikisho ime wasilisha sheria mpya ya kuweka marufuku ya muda, kwa baadhi ya nchi kutumia viza fulani kuja Australia.


Makundi ya haki za binadamu na wataalamu wamelaani hatua hiyo, na kuzua wasiwasi kwamba vita katika maeneo ya Mashariki ya Kati vinaweza wazuia watu kuomba hifadhi nchini Australia.

Mkurugenzi Mtendaji mwenza wa Baraza la Wakimbizi la Australia, Paul Power, amesema sheria iliyopendekezwa inadhoofisha sana kujitolea kwa Australia kwa kanuni za Mkataba wa Wakimbizi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now