Marekani na Iran zimebadilishana wimbi jingine la mashambulizi, huku mapigano yakiongezeka kuhusu Mlango-Bahari wa Hormuz yakisukuma makubaliano ya kidiplomasia ya mwezi uliopita karibu kuvunjika.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Utawala wa Trump unasisitiza kwamba meli za kibiashara zitaendelea kupitia njia ya kimkakati ya maji, huku Tehran ikisema sasa inadhibiti ni nani anayeweza kupita.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






