Askofu Peter:"Hange kombolewa mwanadamu bure"

Askofu Peter Rwagasore aongoza ibada ya pasaka mjini Fairfield, New South Wales, Australia

Askofu Peter Rwagasore aongoza ibada ya pasaka mjini Fairfield, New South Wales, Australia Source: SBS Swahili

Shirika la Sing Hosanna International Ministries, lili andaa mkutano maalum kuadhimisha Pasaka mjini Fairfield, New South Wales, Australia.


Mkutano huo uliandaliwa siku chache baada ya serikali ya New South Wales kuondoa vizuizi dhidi ya mikusanyiko katika sehemu za ibada kote jimboni, hatua ambayo iliwaruhusu waumini wengi kujumuika pamoja tena baada ya mwaka mzima wakushiriki ibada nyumbani.

Askofu Peter Rwagasore, ali alikwa kuongoza ibada hiyo ya pasaka na katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifafanua maana na umuhimu wa maadhimisho ya Pasaka kwa waumini.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now