Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Barua ya marekebisho ya katiba yawasilishwa Bungeni DRC

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo Source: AP

Bunge la DRC limepokea barua ya kukagua muda wa muhula wa rais na mageuzi ya mahakama ya Kongo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Bunge la DRC limepokea barua ya kukagua muda wa muhula wa rais na mageuzi ya mahakama ya Kongo.


Shirika la kiraia lili wasilisha barua hiyo yenye pendekezo laku badili awamu ya uongozi wa rais kutoka miaka mitano hadi saba.

Baadhi ya wabunge wa chama tawala hivi karibuni walipendekeza mabadiliko ya katiba kwa ajili yaku ongeza muda wa muhula wa rais. Hata hivyo upinzani, mashirika ya kiraia na Kanisa Katoliki lenye ushawishi mkubwa nchini lime pinga pendekezo hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now