Bobi Wine:"Tuta endelea kufuata sheria licha ya dhulma tunayo fanyiwa"

Mwanasiasa na nyota wa Uganda Bobi Wine mahakamani kwa kesi ya dhamana

Mwanasiasa na nyota wa Uganda Bobi Wine ahudhuria mahakama kwa kesi ya dhamana kupitia video Source: AP

Imekuwa wiki nyingine yenye matukio mengi katika ukanda wa Mashariki na Afrika ya Kati.


Nchini Uganda, jeshi la polisi lime anza uchunguzi kwa vifo vya watu 45, walio uawa kufuatia maandamano yaliyo zuka baada yakukamatwa kwa mwanasiasa Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine. Kwa Upande wake Bobi Wine amewasisitizia wafuasi wake pamoja na waganda wote kwa ujumla kuwa, wata endelea kufuata sheria licha ya dhulma ambayo wanatendewa na vyombo vya usalama.

Mtayarishaji wetu wa makala Jason Nyakundi, alituandalia makala ya tathmini ya yaliyo jiri wiki hii katika ukanda wa Mashariki na kati ya Afrika.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now