Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo

Mh Jack Wamboka awasilisha hoja yakumtimua kazini waziri wa kilimo na mifugo Mh Franklin Mithika Linturi.jpg

Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.


Mh Wamboka pamoja na mwanasheria wake, wali weka wazi sababu za kumtaka Waziri Franklin Mithika Linturi afutwe kazi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo | SBS Swahili