Bunge la Kenya lapiga kura yakutokuwa na imani na waziri wa kilimo na mifugo06:14SBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (5.71MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Kamati maalum ya bunge la Kenya, imesikiza wasilisho la Mh Jack Wamboka ambaye anataka waziri wa kilimo na mifugo wa Kenya atimuliwe kazini.Mh Wamboka pamoja na mwanasheria wake, wali weka wazi sababu za kumtaka Waziri Franklin Mithika Linturi afutwe kazi. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini MarekaniYaliyojiri Afrika:Uganda yajiandaa kwa uchaguzi mkuu AlhamisiMakala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboniMakala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?