Burundi ya imarisha juhudi za kufikia usawa wa jinsia

Wikipedia / Public Domain

Wikipedia / Public Domain Source: Wikipedia / Public Domain

Ulimwengu unaadhimisha hii leo tarehe 8 machi Siku ya Wanawake Duniani. Kauli mbiu ya maadhimisho mwaka huu ni " Imarisha Juhudi za Kufikia Usawa wa Jinsia.Burundi ni moja ya nchi zinazojivunia kuongeza usawa wa jinsia, hasa katika uwanja wa siasa baada ya kuwapa wanawake kwa uchache uwakilishi wa asilimia 30 kwenye taasisi za uongozi wa taifa. Hata hivo changamoto kubwa ni kumstaawisha mwaaamke wa Kijijini na yule mwenye kipato cha chini ambao wamezongwa na umaskini, kama anavyosimulia Mwandishi wetu Ramadhani Kibuga katika makala haya kutoka Bujumbura, Burundi.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service