Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Burundi ya imarisha juhudi za kufikia usawa wa jinsia

Wikipedia / Public Domain
Wikipedia / Public Domain Source: Wikipedia / Public Domain

Ulimwengu unaadhimisha hii leo tarehe 8 machi Siku ya Wanawake Duniani. Kauli mbiu ya maadhimisho mwaka huu ni " Imarisha Juhudi za Kufikia Usawa wa Jinsia.Burundi ni moja ya nchi zinazojivunia kuongeza usawa wa jinsia, hasa katika uwanja wa siasa baada ya kuwapa wanawake kwa uchache uwakilishi wa asilimia 30 kwenye taasisi za uongozi wa taifa. Hata hivo changamoto kubwa ni kumstaawisha mwaaamke wa Kijijini na yule mwenye kipato cha chini ambao wamezongwa na umaskini, kama anavyosimulia Mwandishi wetu Ramadhani Kibuga katika makala haya kutoka Bujumbura, Burundi.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Ulimwengu unaadhimisha hii leo tarehe 8 machi Siku ya Wanawake Duniani. Kauli mbiu ya maadhimisho mwaka huu ni " Imarisha Juhudi za Kufikia Usawa wa Jinsia.Burundi ni moja ya nchi zinazojivunia kuongeza usawa wa jinsia, hasa katika uwanja wa siasa baada ya kuwapa wanawake kwa uchache uwakilishi wa asilimia 30 kwenye taasisi za uongozi wa taifa. Hata hivo changamoto kubwa ni kumstaawisha mwaaamke wa Kijijini na yule mwenye kipato cha chini ambao wamezongwa na umaskini, kama anavyosimulia Mwandishi wetu Ramadhani Kibuga katika makala haya kutoka Bujumbura, Burundi.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now