Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Bw Chumba "tukishikana mikono itatupa urahisi kufanya vitu vikubwa pamoja"

Bw Gilbert Chumba, Katibu Mkuu wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW akitoa hotuba..jpg

Viongozi wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi New South Wales wanajiandaa kuwasilisha vyeti vya usajili wa Jumuiya kwa wanachama wao jioni ya Ijumaa 20 Disemba 2024.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Viongozi wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi New South Wales wanajiandaa kuwasilisha vyeti vya usajili wa Jumuiya kwa wanachama wao jioni ya Ijumaa 20 Disemba 2024.


Bw Gilbert Chumba ni Katibu Mkuu, wa Kalenjin Community Association and Welfare. Katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu maandalizi ya hafla wanayo waandalia wanachama, umuhimu wakuwa mwanachama pamoja na kile ambacho wanachama wanastahili tarajia kutoka hafla hiyo pamoja na viongozi husika.

Kwa mawasiliano na viongozi au wanachama wa jumuiya hiyo tembelea mitandao yakijamii: Kalenjin Community Association and Welfare.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now