Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Bw Omari "watu wana anza sema wakati wa Kabila ulikuwa afadhali kuliko sasa"

DR CONGO-GOMA-PRESIDENT-RWANDA-PRESIDENT-MEETING

President of the Democratic Republic of the Congo DRC Felix Tshisekedi R and Rwandan President Paul Kagame attend a press conference after their meeting in Goma, North Kivu province, DR Congo, on June 26, 2021. Credit: Xinhua News Agency via Getty Images

Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Hali ya usalama inavyo zidi kudorora katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ndivyo serikali ya Rais Tshisekedi inavyo zidi kuwa chini ya shinikizo kubwa.


Shinikizo hilo limefikia kiwango cha baadhi ya raia wa DRC, kuukumbuka na kutamani awamu ya rais mstaafu Joseph Kabila.

Katika mazungumzo maalum na mchambuzi wa maswala yakisiasa ya Afrika Mashariki Bw Omari, kuhusu matukio ya hivi karibuni ya jimbo la Kivu Kaskazini ambako kundi la waasi la M23, lime chukua udhibiti wa mji wa Goma kutoka serikali naku tishia kuandamana hadi mji mkuu wa Kinshasa.

Bw Omari ali eleza SBS Swahili kuwa, "watu wana anza sema wakati wa Kabila ulikuwa afadhali kuliko sasa"

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now