Cecil "Karibuni tuchangie tamaduni yawarundi katika siku yakina mama"

Bango la sherehe la jamii yawarundi wa Sydney

Bango la sherehe la jamii yawarundi wa Sydney Source: Burundian community in Sydney

Viongozi wa jamii yawarundi wanao ishi mjini Sydney, Australia wana andaa sherehe maalum kwa niaba yakina mama katika jamii yao, baada ya vizuizi vya COVID-19 kuwazuia kufanya hivyo mwaka jana.


Bi Cecil ni mmoja wa viongozi wa jamii hiyo, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, aliweka wazi umuhimu wakuandaa sherehe hiyo pamoja na baadhi ya maswala muhimu yatakayo jadiliwa katika tukio hilo. Image

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Cecil "Karibuni tuchangie tamaduni yawarundi katika siku yakina mama" | SBS Swahili