Bi Cecil ni mmoja wa viongozi wa jamii hiyo, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, aliweka wazi umuhimu wakuandaa sherehe hiyo pamoja na baadhi ya maswala muhimu yatakayo jadiliwa katika tukio hilo. Image
Cecil "Karibuni tuchangie tamaduni yawarundi katika siku yakina mama"

Bango la sherehe la jamii yawarundi wa Sydney Source: Burundian community in Sydney
Viongozi wa jamii yawarundi wanao ishi mjini Sydney, Australia wana andaa sherehe maalum kwa niaba yakina mama katika jamii yao, baada ya vizuizi vya COVID-19 kuwazuia kufanya hivyo mwaka jana.
Share