Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"

Charlo ndani ya studio ya SBS

Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.


Charlie Mdogo ni Mkurugenzi wa kampuni ya Beast from the East. Kampuni hiyo ina andaa tamasha ya Bien, msanii wa zamani wa kundi la Sauti Sol.

Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, Charlie Mdogo alifunguka kuhusu maandalizi ya tamasha hiyo pamoja na kile ambacho wapenzi wa muziki wa Afrika wana stahili tarajia usiku wa Jumamosi 4 Mei 2024 ndani ya ukumbi wa Metro Theatre mjini Sydney, Australia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now