Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Davi"tunataka badilisha muonekano kuwa lazima uwe mkonde,mwembamba na mrefu ili uwe mwanamitindo"

Bango la mashindano ya wanamitindo la Maridadi Group.jpg

Shirika la Maridadi Group, lime andaa tamasha maalum ambako wana mitindo wakike na wakiume watawania taji la Bi na Bw Kenya, Australia, 2023 mjini Melbourne, Victoria.


Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Mkurugenzi wa Maridadi Group Bw Davi, alifunguka kuhusu motisha yakuanzisha tamasha hiyo, malengo yake pamoja na matarajio ya muda mfupi na muda mrefu ya shirika lake.

Kwa taarifa zaidi kuhusu tamasha za Maridadi Group tembelea: www.maridadigroup.com

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now