Davi"tunataka badilisha muonekano kuwa lazima uwe mkonde,mwembamba na mrefu ili uwe mwanamitindo"

Bango la mashindano ya wanamitindo la Maridadi Group.jpg

Shirika la Maridadi Group, lime andaa tamasha maalum ambako wana mitindo wakike na wakiume watawania taji la Bi na Bw Kenya, Australia, 2023 mjini Melbourne, Victoria.


Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Mkurugenzi wa Maridadi Group Bw Davi, alifunguka kuhusu motisha yakuanzisha tamasha hiyo, malengo yake pamoja na matarajio ya muda mfupi na muda mrefu ya shirika lake.

Kwa taarifa zaidi kuhusu tamasha za Maridadi Group tembelea: www.maridadigroup.com

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.



Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service