Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

David afunguka kuhusu manufaa ya kuwa mwanachama wa Men's Cave Forum

Bw David Kamande Mwenyekiti wa Men's Cave Forum.jpg

Mwenyekiti wa Men's Cave Forum Bw David Kamande aki wahotubia wanachama wake.

Wanaume wenye asili ya Kenya katika jimbo la Victoria, wali anzisha kundi kwa jina la Men's Cave Forum, ambalo hutumiwa kushughulikia maswala mbali mbali yanayo wakumba wanachama wake.


Katika mahojiano maalum na mwenyekiti wa kundi hilo Bw David Kamande, ali eleza SBS Swahili manufaa yakuwa mwanachama wa kundi hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now