David afunguka kuhusu manufaa ya kuwa mwanachama wa Men's Cave Forum

Bw David Kamande Mwenyekiti wa Men's Cave Forum.jpg

Mwenyekiti wa Men's Cave Forum Bw David Kamande aki wahotubia wanachama wake.

Wanaume wenye asili ya Kenya katika jimbo la Victoria, wali anzisha kundi kwa jina la Men's Cave Forum, ambalo hutumiwa kushughulikia maswala mbali mbali yanayo wakumba wanachama wake.


Katika mahojiano maalum na mwenyekiti wa kundi hilo Bw David Kamande, ali eleza SBS Swahili manufaa yakuwa mwanachama wa kundi hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
David afunguka kuhusu manufaa ya kuwa mwanachama wa Men's Cave Forum | SBS Swahili