Dj Swazz Damu "wafanya biashara watapata hasara kubwa baada ya Kenya kuchujwa kutoka Rugby7s"

Dj Swazz Damu kazini

Dj Swazz Damu kazini

Wapenzi wa mchezo wa raga wa wachezaji saba, wanaendelea kukabiliana na taarifa ya timu ya taifa ya Kenya kushuka daraja katika mchezo wakimataifa wa raga.


Mchezo huo ambao huandaliwa katika miji mbali mbali duniani kila mwaka, hutoa fursa kwa wafanyabiashara wa kila aina kujumuika na wateja wao.

Kuelewa zaidi jinsi wafanya biashara wata athirika kupitia Kenya kushushwa daraja kutoka mchezo wakimataifa wa raga ya wachezaji saba, SBS Swahili ilizungumza na mmiliki wa kampuni ya burudani Big Minds Empire ambayo hufanya biashara yakuwaleta wasanii nchini kwa tamasha wakati wa michezo ya raga.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service