Djay Daffy aweka wazi sababu za kuacha chuo

Djay Daffy.jpg

Sekta ya burudani nchini Kenya, ina endelea kushuhudia ujio wa vijana wenye vipaji vya kila aina.


Djay Daffy ni mmoja wa vijana hao, ambao kwa sasa wame teka nakutawala katika sekta hiyo na thibitisho ni idadi ya mialiko anayo pokea ndani na nje ya nchi kufanya kazi.

Djay Daffy alitembelea SBS Swahili alipokuwa katika ziara yake nchini Australia hivi karibuni. Alifunguka kuhusu maamuzi magumu aliyo fanya kuacha masomo chuoni, na kikao alicho lazimika kufanya na wazazi wake, kuwa eleza sababu zakuacha chuo.

Bofya hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Djay Daffy aweka wazi sababu za kuacha chuo | SBS Swahili