Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Donald Trump asema hakutukana mataifa ya Afrika na Haiti

Donald Trump azungumza katika sherehe yaku muenzi  Dr Martin Luther King Jr ndani ya ikulu

Donald Trump azungumza katika sherehe yaku muenzi Dr Martin Luther King Jr ndani ya ikulu Source: Evan Vucci

Mataifa wanachama wa muungano wa Afrika yame sisitiza yana mtaka rais wa Marekani Donald Trump aombe msamaha baada ya kushtumiwa kudhalilisha matiafa ya Afrika na Haiti katika kauli yake.


Imeripotiwa madai hayo yalijiri wakati wa kikao cha pamoja cha maseneta wa vyama vya Republican na Democrats, ambao walikuwa waki mwarifu rais huyo kuhusu mageuzi katika mfumo wa viza za marekani, pamoja naku jadili uhamiaji kutoka Afrika.

Licha shutma hizo, Bw Trump ame sisitiza kuwa hakutumia maneno hayo ya dharau, katika mkutano alio hudhuria wiki iliyo pita.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now