Imeripotiwa madai hayo yalijiri wakati wa kikao cha pamoja cha maseneta wa vyama vya Republican na Democrats, ambao walikuwa waki mwarifu rais huyo kuhusu mageuzi katika mfumo wa viza za marekani, pamoja naku jadili uhamiaji kutoka Afrika.
Donald Trump asema hakutukana mataifa ya Afrika na Haiti

Donald Trump azungumza katika sherehe yaku muenzi Dr Martin Luther King Jr ndani ya ikulu Source: Evan Vucci
Mataifa wanachama wa muungano wa Afrika yame sisitiza yana mtaka rais wa Marekani Donald Trump aombe msamaha baada ya kushtumiwa kudhalilisha matiafa ya Afrika na Haiti katika kauli yake.
Share