Dr Benedict:"Ukitaka jikinga corona kwa njia zisizo zakitaalam, utaathiri nyanja zingine za maisha yako"

Kituo cha chanjo katika kitongoji cha Lakemba

Mfanyakazi wa Afya, atoa huduma ndani ya kituo cha matibabu kinacho toa chanjo za COVID-19, katika kitongoji cha Lakemba, Sydney, Australia. Source: Jenny Evans/Getty Images

Jimbo la NSW lina endelea kukabiliana na changamoto, ya ongezeko ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 ndani ya jamii.


Wakati huo huo mashaka kuhusu upokeaji wa chanjo za COVID-19, yanaendelea kuongezeka miongoni mwa baadhi yawanachama wa jamii mbali mbali.

Dr Benedict ali ifafanulia idhaa ya Kiswahili ya SBS umuhimu wa watu kupokea chanjo, kwa ajili yaku boresha kinga ya mwili nakuepuka kupata magonjwa mabaya zaidi. Dr Benedict alizungumzia pia dhana na baadhi ya taarifa zinazo sambazwa mitandaoni kuwashawishi watu kutopokea chanjo dhidi ya Coronavirus.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Dr Benedict:"Ukitaka jikinga corona kwa njia zisizo zakitaalam, utaathiri nyanja zingine za maisha yako" | SBS Swahili