Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

DR Congo yawapa mamilioni fahari

FIFA World Cup 2026 - Round of 32 - England vs DR Congo
Players of DR Congo celebrate after scoring the 1-0 during the FIFA World Cup 2026 Round of 32 match England against Democratic Republic of Congo, in Atlanta, USA, 01 July 2026. Source: EPA / RONALD WITTEK/EPA/AAP Image

Mwaka huu DR Congo ilimaliza ukame wakuto shiriki katika Kombe la Dunia la FIFA baada ya zaidi ya miaka 50.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mwaka huu DR Congo ilimaliza ukame wakuto shiriki katika Kombe la Dunia la FIFA baada ya zaidi ya miaka 50.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Hata hivyo, DR Congo ilijipata katika kundi ambalo lilijumuisha Ureno, Colombia na Uzbekistan.

SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wanachama wa timu ya vijana ya Jumuiya ya DR Congo wanao ishi Sydney, NSW. Vijana hao walifunguka kuhusu matarajio yao kwa timu yao katika Kombe la Dunia la 2026.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now