Duru la Michezo 15 Disemba 2020

Neymar

Neymar Source: Getty Images

Mchakato wa mitanange ya klabu bingwa UEFA na ligi ya Ulaya umekamilika, Je timu za Uingereza zitafua dafu?


Mechi kubwa inayosubiliwa kwa hamu ni kati ya Barcelona vs PSG, huku Messi, huku Neymar.

Je, nani atatoka kifua mbele katika mzunguko huu wa 16 bora?

Wakati huo huo timu zenye kusuasua Arsenal na Manchester United zitapiganaje kwenye ligi ya Ulaya?

Tuungane na mjadala huo wa soka kupitia Duru la Michezo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Duru la Michezo 15 Disemba 2020 | SBS Swahili