Rais Tshisekedi wa DRC atia saini mkataba wakujiunga na EAC Source: Statehouse KenyaViongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wana andaa kikosi maalum, kitakacho pelekwa kukabiliana na waasi DR Congo.
Published
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Skip to podcast episode contentShare this with family and friends
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wana andaa kikosi maalum, kitakacho pelekwa kukabiliana na waasi DR Congo.
Je! kikosi hicho kitafanikiwa ambako vikosi vya walinda amani wa Umoja wa Mataifa vimefeli kufikia sasa?
Ungana na mwandishi wetu Jason Nyakundi kwa taarifa zaidi.