Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

EAC kuunda kikosi cha kukabiliana na waasi DRC

Rais Tshisekedi wa DRC atia saini mkataba wakujiunga na EAC

Rais Tshisekedi wa DRC atia saini mkataba wakujiunga na EAC Source: Statehouse Kenya

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wana andaa kikosi maalum, kitakacho pelekwa kukabiliana na waasi DR Congo.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wana andaa kikosi maalum, kitakacho pelekwa kukabiliana na waasi DR Congo.


Je! kikosi hicho kitafanikiwa ambako vikosi vya walinda amani wa Umoja wa Mataifa vimefeli kufikia sasa?

Ungana na mwandishi wetu Jason Nyakundi kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now