Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wana andaa kikosi maalum, kitakacho pelekwa kukabiliana na waasi DR Congo.
Je! kikosi hicho kitafanikiwa ambako vikosi vya walinda amani wa Umoja wa Mataifa vimefeli kufikia sasa?
Ungana na mwandishi wetu Jason Nyakundi kwa taarifa zaidi.
Share






