Wa Australia wenye asili ya DR Congo, walijumuika mbele ya bunge la taifa mjini Canberra kuandamana dhidi ya vita vinavyo endelea mashariki mwa DR Congo.
Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Fiedel Future ni mwenyekiti wa jumuiya yawa Australia, wenye asili ya DR Congo wanao ishi Queensland.
Katika mazungumzo na SBS Swahili, alifunguka kuhusu lengo laku andaa maandamano hayo pamoja na matarajio yake kwa harakati hiyo.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.
Share





