Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Future "tunataka serikali ya Australia isaidie kuleta suluhu ya amani DRC"

Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Australia wenye asili ya DR Congo Bw Fidele Future (katikati) akiwa na mbunge mbele ya bunge la taifa mjini Canberra, Australia.jpg

Wa Australia wenye asili ya DR Congo, walijumuika mbele ya bunge la taifa mjini Canberra kuandamana dhidi ya vita vinavyo endelea mashariki mwa DR Congo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wa Australia wenye asili ya DR Congo, walijumuika mbele ya bunge la taifa mjini Canberra kuandamana dhidi ya vita vinavyo endelea mashariki mwa DR Congo.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Fiedel Future ni mwenyekiti wa jumuiya yawa Australia, wenye asili ya DR Congo wanao ishi Queensland.

Katika mazungumzo na SBS Swahili, alifunguka kuhusu lengo laku andaa maandamano hayo pamoja na matarajio yake kwa harakati hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now