Future "tunataka serikali ya Australia isaidie kuleta suluhu ya amani DRC"

Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Australia wenye asili ya DR Congo Bw Fidele Future (katikati) akiwa na mbunge mbele ya bunge la taifa mjini Canberra, Australia.jpg

Wa Australia wenye asili ya DR Congo, walijumuika mbele ya bunge la taifa mjini Canberra kuandamana dhidi ya vita vinavyo endelea mashariki mwa DR Congo.


Fiedel Future ni mwenyekiti wa jumuiya yawa Australia, wenye asili ya DR Congo wanao ishi Queensland.

Katika mazungumzo na SBS Swahili, alifunguka kuhusu lengo laku andaa maandamano hayo pamoja na matarajio yake kwa harakati hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service