Germain "sita ishi Kinshasa niki shinda uchaguzi, nita ishi na walio nichagua"

Bw Germain Byadunia kwenye bango pamoja na kiongozi wa UNC Mh Vital Kamerhe.jpg

Wagombea wa nyadhifa mbali mbali katika uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wame maliza kampeni zao, sasa wanasubiri hukumu ya wananchi.


Bw Germain ni mmoja wa wagombea hao, anawania ubunge kupitia chamacha UNC cha Mh Vitale Kamerhe.

Licha yakuwa na maisha yakistaarab nchini Australia, Bw Germain ame amua kurudi kutoa huduma kwa jamuia yake. Alitueleza kwa urefu na upana kuhusu motisha yakuacha kazi na shughuli zake nchini Australia, kwa ajili yakuwania ubunge katika uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Germain "sita ishi Kinshasa niki shinda uchaguzi, nita ishi na walio nichagua" | SBS Swahili