Mziki wa injili wapata sauti mpya Australia

Luundo Rajabu akitengeza video ya 'Atawale'

Luundo Rajabu akitengeza video ya 'Atawale' Source: Luundo Rajabu

Vijana wengi katika jamii yawa hamiaji wanapo amua kuwa wasanii, wengi wao hutunga miziki aina ya Hip Hop na Pop kwa sababu ndiwo unao lipa vizuri.


Ila Luundo Rajabu kutoka Brisbane, Australia ame kataa vishawishi vyote nakusalia katika mziki wa injili.

Hivi karibuni kwa ushirikiano na wasanii wenzake nchini Australia, ametoa wimbo wake mpya ambao ame uita, 'Atawale'.

SBS Swahili ilizungumza na Bw Luundo, kuhusu kinacho mpa moyo kuendelea kuimba nyimbo za injili, na je mwelekeo wa mziki wa injili waki Afrika nchini Australia ni upi?

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now