Taarifa ya Habari: Sera ya upinzani yakupiga maarufuku baadhi ya wahamiaji kuingia nchini yazua gumzo

One Nation leader Senator Pauline Hanson makes her maiden speech in the Senate in Canberra, Wednesday, Sept. 14, 2016. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING

One Nation leader Senator Pauline Hanson makes her maiden speech in the Senate in Canberra, Wednesday, Sept. 14, 2016. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP

Mbunge wa chama cha One Nation Barnaby Joyce, amesema ni wazi sera ya uhamiaji ya chama chake, ina ungwa mkono na chama cha Liberal, akihoji madai ya baadhi yama seneta wa chama cha Liberal kuwa hawana taarifa kuhusu mpango huo wa uhamiaji.


Mamilioni ya watu katika maeneo ya kusini mashariki Australia, wanakabiliwa kwa ongezeko la tisho kubwa la moto hii leo Jumanne 17 Februari, mamlaka ikionya kuhusu uwepo wa wingi wa mafuta makavu licha ya mioto ya hivi karibuni.

Nchini Kenya, mpasuko wa kisiasa ndani ya chama cha siasa cha ODM umeendelea ambapo mwishoni mwa wiki iliyopita, pande mbili zinazovutana kuhusu kumuunga mkono rais William Ruto, ziliandaa mikutano ya hadhara.

Kuteuliwa Burundi kuwa mwenyekiti wa umoja wa Afrika, kunatarajiwa kuleta tija katika kutatuwa migogoro inayo zikabili baadhi ya nchi za jumuia hiyo kutokana na Burundi kuwa na uzoefu katika maswala ya kusimamia amani na

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now