Serikali yakaza masharti ya viza kupitia mtihani wa tabia

Department of Immigration and Border Protection

Source: SBS

Makumi yama elfu yawa hamiaji wanaweza poteza viza zao, chini ya pendekezo ya sheria zaku kaza mitihani ya tabia.


Mageuzi yaliyo wasilishwa bungeni mwezi jana, yanatarajiwa kuwa na athari isiyokuwa na kipimo kwa watu kutoka New Zealand wanao ishi Australia, hali ambayo itaongeza mgawanyiko kati ya nchi hizo mbili hususan katika swala la kufukuza watu nchini.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service