Haki za watoto Australia

Dr de Toca says becoming a citizen of First Nations people meant more than Australian citizenship.

Dr de Toca says becoming a citizen of First Nations people meant more than Australian citizenship. Source: Getty Images/Don Arnold

Mkataba wa Umoja wa Mataifa kwa haki za mtoto, ni makubaliano yakimataifa kwa haki za binadam yanayo julikana pia kama mkataba wa haki za binadam, unao elezea haki maalum ambazo watoto na vijana wanaweza dai.


Karibu kila nchi duniani Australia ikijumuishwa, imetia saini mkataba huo nakuufanya uwe mkataba wa haki za binadam unao ungwa mkono zaidi.

Makala haya ya mwongozo wa makazi yana elezea haki ambazo watoto wanazo nchini Australia na, jinsi haki hizo zime lindwa na sheria za Australia.

Baadhi ya haki ambazo zimo ndani ya mkataba wa haki za mtoto zinajumuisha, haki yakuwa salama, haki yakucheza, haki yakupata elimu na haki yakuwa na afya nzuri.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service