Kasi yaku uza bajeti ya 2018 yaongezwa

Mweka hazina wa Australia Scott Morrison na waziri wa fedha Mathias Cormann katika baraza la mawaziri wa serikali ya Australia

Mweka hazina wa Australia Scott Morrison na waziri wa fedha Mathias Cormann katika baraza la mawaziri wa serikali ya Australia Source: AAP

Waziri mkuu Malcolm Turnbull amesema familia zita pewa msaada kwa gharama ya maisha, uhakika kwa huduma muhimu utatolewa na miradi ya barabara na reli ita tolewa katika bajeti hiyo.


Makato binafsi ya kodi kwa wanao pokea mapato ya kati, yanatarajiwa kuwa sehemu kubwa ya bajeti ya tatu ya mweka hazina Scott Morrison hata kama haijawa wazi itakuwa katika umbo gani.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kasi yaku uza bajeti ya 2018 yaongezwa | SBS Swahili