Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kasi yaku uza bajeti ya 2018 yaongezwa

Mweka hazina wa Australia Scott Morrison na waziri wa fedha Mathias Cormann katika baraza la mawaziri wa serikali ya Australia

Mweka hazina wa Australia Scott Morrison na waziri wa fedha Mathias Cormann katika baraza la mawaziri wa serikali ya Australia Source: AAP

Waziri mkuu Malcolm Turnbull amesema familia zita pewa msaada kwa gharama ya maisha, uhakika kwa huduma muhimu utatolewa na miradi ya barabara na reli ita tolewa katika bajeti hiyo.


Makato binafsi ya kodi kwa wanao pokea mapato ya kati, yanatarajiwa kuwa sehemu kubwa ya bajeti ya tatu ya mweka hazina Scott Morrison hata kama haijawa wazi itakuwa katika umbo gani.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now