Kasi yaku uza bajeti ya 2018 yaongezwa

Mweka hazina wa Australia Scott Morrison na waziri wa fedha Mathias Cormann katika baraza la mawaziri wa serikali ya Australia Source: AAP
Waziri mkuu Malcolm Turnbull amesema familia zita pewa msaada kwa gharama ya maisha, uhakika kwa huduma muhimu utatolewa na miradi ya barabara na reli ita tolewa katika bajeti hiyo.
Share