Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Hezron "Tuwe na mazoea ya kujuliana hali"

Mgeni wa heshima Bw Thomas K Boor (kushoto), akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW Bw Hezron Baranga (kulia).jpg

Mgeni wa heshima Bw Thomas K Boor (kushoto), akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW Bw Hezron Baranga (kulia).jpg

Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi mjini Sydney, New South Wales Bw Hezron Baranga, ali andaa mkutano maalum wa wanaume wa jumuiya yake kwa lengo lakujuliana hali nakupanga malengo ya mwaka.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi mjini Sydney, New South Wales Bw Hezron Baranga, ali andaa mkutano maalum wa wanaume wa jumuiya yake kwa lengo lakujuliana hali nakupanga malengo ya mwaka.


Bw Thomas K Boor alikuwa mgeni wa heshima katika mkutano huo, alichangia uzoefu wake pamoja nakutoa ushauri kwa wanaume walio hudhuria mkutano huo.

Kwa upande wake, Bw Hezron Baranga, alisisitiza umuhimu wakuwa na mazoea ya kujuliana hali mara kwa mara, hasa kwa wanajumuia wanao ishi peke yao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now