Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi mjini Sydney, New South Wales Bw Hezron Baranga, ali andaa mkutano maalum wa wanaume wa jumuiya yake kwa lengo lakujuliana hali nakupanga malengo ya mwaka.
Bw Thomas K Boor alikuwa mgeni wa heshima katika mkutano huo, alichangia uzoefu wake pamoja nakutoa ushauri kwa wanaume walio hudhuria mkutano huo.
Kwa upande wake, Bw Hezron Baranga, alisisitiza umuhimu wakuwa na mazoea ya kujuliana hali mara kwa mara, hasa kwa wanajumuia wanao ishi peke yao.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





