Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Hoja ya mamlaka yatishia mazungumzo yaku unda serikali ya mseto ya Sudan Kusini

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na naibu wake Riek Machar (kushoto) baada yakutoa amri kwa wanajeshi wasitishe vita

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na naibu wake Riek Machar (kushoto) baada yakutoa amri kwa wanajeshi wasitishe vita Source: AAP

Mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto Sudan Kusini, yame kwama baada ya pande husika kuto afikiana kuhusu jinsi wata wagawa mamlaka.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Mazungumzo ya kuunda serikali ya mseto Sudan Kusini, yame kwama baada ya pande husika kuto afikiana kuhusu jinsi wata wagawa mamlaka.


Mpatanishi mkuu Luteni Jenerali mstaafu Lazaro Sumbeiywo, ali eleza SBS Swahili kuhusu hatua zinazo chukuliwa kurejesha pande zote katika meza ya mazungumzo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now