Ukame una waathiri aje wanafunzi katika kanda ya Australia?

Kondoo yakabiliana na madhara ya ukame nchini Australia

Kondoo yakabiliana na madhara ya ukame nchini Australia Source: Getty

Miji mingi yakikanda nchini Australia, imepata pigo kubwa ya madhara ya ukame.


Hali hiyo ningumu haswa kwa wanafunzi kutoka mazingara ya ukulima, ambao lazima wakabiliane na changamoto za ziada, zakuwaza maslahi na mapato ya familia zao zakilimo, na wakati huo huo lazima wapate matokeo mazuri katika masomo yao.

Dr Ndungi wa Mungai na Dr Kiprono Langat, ni walimu katika chuo cha Charles Sturt ambacho kiko mjini Wagga Wagga. Wawili hao wali eleza idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu uzoefu wao, wakufanya kazi katika kanda ya Australia pamoja na changamoto zinazo wakabili baadhi ya wanafunzi wao kutoka mazingira ya ukulima.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service