Hali hiyo ningumu haswa kwa wanafunzi kutoka mazingara ya ukulima, ambao lazima wakabiliane na changamoto za ziada, zakuwaza maslahi na mapato ya familia zao zakilimo, na wakati huo huo lazima wapate matokeo mazuri katika masomo yao.
Ukame una waathiri aje wanafunzi katika kanda ya Australia?

Kondoo yakabiliana na madhara ya ukame nchini Australia Source: Getty
Miji mingi yakikanda nchini Australia, imepata pigo kubwa ya madhara ya ukame.
Share