Isaac Kisimba "JFSS inawapa watu wetu huduma zinazo stahili"

Bw Kisimba, Mkurugenzi Mtendaji wa Joining Families Support Services.jpg

Idadi ya watu kutoka jamii zenye asili ya Afrika Mashariki na Kati , inaendelea kuongezeka nchini kila mwaka kulingana na takwimu za serikali.


Ongezeko hilo la watu lina maana kwamba, wana hitaji huduma maalum zinazo kidhi mahitaji yao. Ni hali iliyo weka pengo katika sekta inayo toa huduma kwa jamii zawa hamiaji na wakimbizi nchini.

Bw Isaac Kisimba ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Joining Families Support Services. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Kisimba alifunguka alivyo chukua hatua zaku ziba pengo hilo la huduma kwa jamii hizo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Isaac Kisimba "JFSS inawapa watu wetu huduma zinazo stahili" | SBS Swahili