Jamii yawakenya jimboni Victoria, yawafungulia milango wanafunzi wakimataifa

Mji wa Melbourne chini ya vizuizi

Mtaa wa Flinders Street, mjini Melbourne ukiwa chini ya vizuizi. Source: AAP Image/Daniel Pockett

Jamii yawakenya imechukua hatua zakuwanusura, wanachama walio athiriwa na janga la COVID-19 jimboni Victoria.


Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na mmoja wa viongozi katika jamii yawakenya Bw Muchiri, ambaye aliweka wazi jinsi janga la coronavirus lime athiri jamii yake, pamoja na msaada ambao jamii yake inatoa kwa wanachama ambao wame athirika hususan wanafunzi wakimataifa.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service