Jamii yawanyarwanda wa New South Wales, wafunguka kuhusu mauaji ya 1994

Baadhi yawalio shiriki katika ibada yakumbukumbu yamauaji ya Rwanda ya 1994 wawasha mishumaa kama ishara yakumbukumbu

Baadhi yawalio shiriki katika ibada yakumbukumbu yamauaji ya Rwanda ya 1994 wawasha mishumaa kama ishara yakumbukumbu 10 Aprili 2021 Source: Jean Paul Amedee Nizigama

Picha na kanda za video zilizokuwa zikitoka nchini Rwanda katika mwezi wa Aprili 1994, zili kera nakutikisa jamii yakimataifa.


Je! miaka 27 baada ya tukio hilo, kumbukumbu na hisia za baadhi yawahanga na walio shuhudia mauaji hayo zikoje?

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now