Baadhi yawalio shiriki katika ibada yakumbukumbu yamauaji ya Rwanda ya 1994 wawasha mishumaa kama ishara yakumbukumbu 10 Aprili 2021 Source: Jean Paul Amedee Nizigama
Picha na kanda za video zilizokuwa zikitoka nchini Rwanda katika mwezi wa Aprili 1994, zili kera nakutikisa jamii yakimataifa.