Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je COVID-19 imeathiri aje biashara za wajasiriamali?

Bango lenye taarifa ya usalama wa COVID kwenye dirisha la duka

Bango lenye taarifa ya usalama wa COVID kwenye dirisha la duka Source: Cultural Perspectives Group

Wajasiriamali wengi hukabiliana na changamoto nyingi, kuanza naku hakikisha uwekezaji wao unazaa matunda mema.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wajasiriamali wengi hukabiliana na changamoto nyingi, kuanza naku hakikisha uwekezaji wao unazaa matunda mema.


Janga la COVID-19 lime waongezea wajasiriamali shinikizo na changamoto za ziada, wengi wao wakiachwa na uamuzi mgumu kuhusu hatma za biashara na uwekezaji wao.

Bw Freddy ni mjasiriamali ambaye huwekeza katika biashara za migahawa jijini Brisbane, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifunguka kuhusu changamoto ambazo janga la COVID-19 lime zua na baadhi ya maamuzi magumu ambayo yeye pamoja na wajasiriamali wenza wana kabiliana nayo.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now