Je Mungu amewasalliti waumini katika mwaka wa 2020

Baadhi ya walio anzisha kundi la ICRM

Baadhi ya walio anzisha kundi la ICRM Source: SBS Swahili

Mwaka wa 2020 umezua changamoto nyingi kote duniani kupitia janga la COVID-19, na waumini wame kabiliwa na changamoto kubwa zaidi.


Watu wengi wali ongeza juhudi katika sala na imani kukabiliana na changamoto ambazo janga la COVID-19 ilizua, ila nikama juhudi zao zimegonga mwamba.

Hata hivyo shirika la ICRM ambalo linawanachama kutoka jamii zenye tamaduni mbali mbali, halijafa moyo na linaendelea kuwahimiza wanachama wake pamoja najamii pana kwa ujumla iendelee kuwa na imani kuwa maombi yao yatajibiwa muda si mrefu.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now