Je! Ni kwa nini wakaazi wa Goma hawakuonywa kabla ya mlipuko wa volcano?

Volcano yalipuka karibu ya mji wa Goma, DR Congo

Volcano yalipuka karibu ya mji wa Goma, DR Congo. Source: AP

Mlipuko wa volkano katika jimbo la Kaskazani Kivu, Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, ume wauwa watu 15, nakuharibu zaidi ya nyumba 500.


Wakaazi wa mji wa Goma pamoja na mamlaka husika wanaendelea kuwatafuta wahanga pamoja naku tathmini uharibifu ulio sababishwa na mlipuko wa volcano hiyo.

Ila, watu wengi wanahoji kwanini shirika la Goma Volcano Observatory, ambalo linajukumu lakuchunguza nakufuatilia maswala ya volcano katika eneo hilo kwa nini haliku waonya wakaazi kuhusu uwezekano wa mlipuko wa volcano hiyo.

Blaise ni kiongozi wa zamani wa jamii yawatu kutoka Jamuhuri yakidemokrasia ya Congo, wanao ishi mjini Sydney, Australia. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, aliweka wazi baadhi ya sababu ambazo watu wengi wanaishi katika eneo hilo lenye hatari ya mlipuko wa volcano.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service