Kwa sasa hakuna umri halisi wakuanza shule kote nchini Australia na, baadhi ya wataalam wanaamini matokeo ya elimu yanaweza imarishwa kama kuna umri wakuanza masomo.
Je panastahili kuwa na umri wakuanza shule kitaifa?

Should there be a national school starting age?? Source: AAP
Mwaka mpya wa shule unapo anza, mjadala umeibuka tena kuhusu miaka yakuanza shule kitaifa.
Share