Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Je uchaguzi wa uongozi uta sababisha mpasuko ndani ya CHADEMA

Viongozi wa CHADEMA, Tundu Lissu (kushoto) na Freeman Mbowe (kulia) wasalimiana.jpg

Wanachama wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, wanasalia na takriban wiki mbili kuingia debeni kumchagua kiongozi mpya.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wanachama wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, wanasalia na takriban wiki mbili kuingia debeni kumchagua kiongozi mpya.


Wagombea wakuu wa wadhifa huo ni mweyekiti wa sasa Freeman Mbowe, na naibu wake Tundu Lissu.

Katika kampeni zake Bw Lissu ame omba uchaguzi huo unao tarajiwa kufanywa 21 Januari, uwe na waangalizi wa ndani na wa kimataifa.

Uchaguzi huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkali, kati ya wagombea wawili wenye umaarufu na uvutio mkubwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now