Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Jeff "unaweza dhani ume mdhuru mtu mmoja tu, kumbe ume waathiri wengi zaidi"

Jeff akiwa katika uzinduzi wa Baho.jpg

Hadithi halisi za wahanga wa mauaji ya 1994 nchini Rwanda, zime zinduliwa katika jumba la sanaa mjini.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Hadithi halisi za wahanga wa mauaji ya 1994 nchini Rwanda, zime zinduliwa katika jumba la sanaa mjini.


Kazi hiyo ilifanywa kwa ushirikiano kati ya mashirika ya Thinkerbell na Kwumva & Kwibuka, ambayo yali shirikiana kuandaa maonyesho ya ustahimilivu kupitia picha na video.

Bw Jeff Budodi ni mkaaji wa Sydney, katika mazungumzo na SBS Swahili alifunguka kuhusu aliyo shuhudia na manufaa yake kwa jamii pana.

Anwani ya maonesho hayo ni 107 Redfern Street, Redfern NSW 2016, na kwa taarifa zaidi kuhusu shirika la Kunva & Kwibuka bofya hapa: www.kumkwi.org


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now