Wakenya nchini Australia waombea uchaguzi mkuu wa amani

Bango la maombi ya uchaguzi mkuu wa Kenya

Bango la maombi ya uchaguzi mkuu wa Kenya Source: Picha: Swazz Damu

Ina salia siku chache kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya kufanywa, wagombea wame zunguka nchini kote waki uza sera zao.


Wakati huo huo nchini Australia, vijana kutoka jamii yawakenya wame andaa mechi yaku hamasisha amani katika uchaguzi mkuu. Mechi hiyo itafuatwa na ibada maalum ya maombi pamoja na viburudisho.

Tukio hilo litakuwa tarehe 6 Agosti 2017 katika uwanja wa: Jones Park, 35 Banks Street, Mays Hill, NSW 2145.

 

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service