Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kikomo cha umri wa viza 'isiyo haki' kuwalazimisha wanafunzi wakimataifa wa PhD kuondoka Australia

PhD candidate Brian Barbour from the US says the age cap will have a huge impact on him and his family_SBS.jpg

Kikomo kipya kwenye visa maarufu ya wahitimu kina waacha wanafunzi wengi wakimataifa wa PhD nchini Australia waki kabiliwa na siku za usoni zisizo na uhakika.


Wengi wanasema watalazimishwa kuondoka nchini kwa sababu ya mageuzi yanayo tarajiwa kufanywa kwa visa ya muda ya wahitimu nambari 485.

Wanafunzi wa shahada ya P-H-D wanasema wana achwa katika hali mbaya, wakati mageuzi kwa viza maarufu ya muda ya wahitimu, yanatarajiwa kuanza kutekelezwa nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now