Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Kinyua "tumekuja kuomboleza walio uawa katika maandamano Kenya"

Wakenya watoa hisia zao kuhusu maandamano yanayo endelea nchini kwao, mbele ya ubalozi wa Kenya mjini Canberra.jfif

Wakenya wanao ishi Canberra, Australia walijumuika mbele ya ubalozi wa nchi yao kuonesha mshikamano na vijana wenzao.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wakenya wanao ishi Canberra, Australia walijumuika mbele ya ubalozi wa nchi yao kuonesha mshikamano na vijana wenzao.


Bw Kinyua alikuwa miongoni mwa wanajumuiya walio hudhuria tukio hilo mbele ya ubalozi wa Kenya katika mji mkuu wa Australia.

Alipozungumza na SBS Swahili, alifunguka kuhusu kilicho mshawishi kushiriki katika tukio hilo pamoja na matarajio yake.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now