Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Kipsang "niki imba vilabuni naimbia watu wa Mungu"

Msanii Kipsang kutoka Kenya

Kipsang ni msanii mzawa wa Kenya anaye tunga nyimbo naku imba katika lugha yaki Kalenjin.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kipsang ni msanii mzawa wa Kenya anaye tunga nyimbo naku imba katika lugha yaki Kalenjin.


Licha ya kujulikana kwa nyimbo zake katika lugha yaki Kalenjin, alipo anza kuimba alikuwa aki imba kwa Kiswahili na Kiingereza.

Alipo zungumza na SBS Swahili, Bw Kipsang alifunguka kwa nini aliamua kuacha kutumia Kiswahili na Kiingereza katika nyimbo zako nakuimba katika lugha yaki Kalenjin pekee.

Alifunguka pia kuhusu anavyo sawazisha kuwa msanii wa nyimbo zakidini, wakati anaimba pia nyimbo za dunia.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now