Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Konje "walicho tumia kutuomba kura ndicho wanatumia kufanya maisha yawe ngumu"

BK.jpg

Muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya, umevutia upinzani mkubwa kutoka wakenya wanao ishi Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya, umevutia upinzani mkubwa kutoka wakenya wanao ishi Australia.


Konje ni miongoni mwa wakenya wanao ishi Australia, alipozungumza na SBS Swahili alifunguka kuhusu motisha yaku jiunga na wanachama wenza wa jumuiya yake kuweka wazi upinzani wao kwa muswada wa fedha wa 2024.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now