Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day09:40SBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (8.85MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.Mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Justin Njuguna, alifunguka katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, kuhusu lengo na mapokezi ya tamasha ya Tamaduni Day.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya Habari 26 Septemba 2025Taarifa ya Habari 23 Septemba 2025Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya OptusKamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRC