Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day09:40SBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (8.85MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.Mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Justin Njuguna, alifunguka katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, kuhusu lengo na mapokezi ya tamasha ya Tamaduni Day.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesMakala leo:jinsi ya kutambua na kuepuka ulaghai wa AIYaliyojiri Afrika:kura zimeanza kuhesabiwa Uganda licha ya matatizo ya kiufundi hapo awaliTaarifa ya habari:tume ya kifalme ya kuchunguza hotuba za chuki yakosa uungwaji mkonoTaarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani