Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day

Wakenya washiriki katika tamasha ya Tamaduni Day mjini Melbourne, Victoria.jpg

Wanachama wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi jimboni Victoria, hivi karibuni walishiriki katika tamasha ya tamaduni zao.


Mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Justin Njuguna, alifunguka katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, kuhusu lengo na mapokezi ya tamasha ya Tamaduni Day.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kuku ashawishi ushindi katika tamasha ya Tamaduni Day | SBS Swahili