Labor yatoa bajeti yenye ziada na afueni kwa gharama ya maisha

FEDERAL BUDGET 2023

Treasurer Jim Chalmers delivers the 2023/2024 Budget in the House of Representatives at Parliament House in Canberra, Tuesday, May 9, 2023. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Kushusha gharama za maisha ya watu nchini Australia, ni lengo kuu la bajeti ya shirikisho ya 2023.


Mweka hazina Jim Chalmers ame ahidi kunacho zingatiwa hakiwezekani: kuregeza shinikizo kwa bajeti za nyumba ila wakati huo huo kulazimisha mfumuko wa bei ushuke.

Weka hazina wa shirikisho mara nyingi hutaja picha kubwa, kuwasaidia kuuza ukweli usio pendeza.

Ila maono ya muda mrefu ya mweka hazina Jim Chalmers, ni kubwa zaidi ya wengine alipotoa bajeti ya mwaka huu. Alisema itasaidia kila mtu katika siku za usoni.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service