Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Labor yatoa bajeti yenye ziada na afueni kwa gharama ya maisha

FEDERAL BUDGET 2023

Treasurer Jim Chalmers delivers the 2023/2024 Budget in the House of Representatives at Parliament House in Canberra, Tuesday, May 9, 2023. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Kushusha gharama za maisha ya watu nchini Australia, ni lengo kuu la bajeti ya shirikisho ya 2023.


Published

Updated

By Nikki Canning

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kushusha gharama za maisha ya watu nchini Australia, ni lengo kuu la bajeti ya shirikisho ya 2023.


Mweka hazina Jim Chalmers ame ahidi kunacho zingatiwa hakiwezekani: kuregeza shinikizo kwa bajeti za nyumba ila wakati huo huo kulazimisha mfumuko wa bei ushuke.

Weka hazina wa shirikisho mara nyingi hutaja picha kubwa, kuwasaidia kuuza ukweli usio pendeza.

Ila maono ya muda mrefu ya mweka hazina Jim Chalmers, ni kubwa zaidi ya wengine alipotoa bajeti ya mwaka huu. Alisema itasaidia kila mtu katika siku za usoni.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now