Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Lissu "hatuwezi tegemea kipya kutoka kiongozi ambaye ameongoza kwa miaka 21"

Bw Tundu Lissu akitoa hotuba mbele ya wanachama wenza.jpg

Mgombea wa wadhifa wa uongozi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA nchini Tanzania, amefunguka kuhusu sababu zake zaku wania wadhifa huo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Mgombea wa wadhifa wa uongozi wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA nchini Tanzania, amefunguka kuhusu sababu zake zaku wania wadhifa huo.


Katika mazungumzo na waandishi wa habari, Tundu Lissu aliweka wazi sababu zake zakuwania uenyekiti wa chama hicho kikubwa cha upinzani licha ya hapo awali kusema hana nia yoyote ya kuwania wadhifa huo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now