Louis:"Magufuli alikuwa akiwahamasisha sana wajasiriamali"

Rais Dkt Magufuli akagua bidhaa katika soko la Ferry

Rais Dkt Magufuli akagua bidhaa katika soko la Samaki Ferry, Dar es Salaam, Tanzania Source: Lemutuz Blog

Hayati Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli wa Tanzania, alikuwa kipenzi cha watanzania wengi wa pato la chini.


Katika ziara zake nyingi alisimama nakusikiza kero zao, nyingi ambazo alitatua papo hapo na zingine aliacha maagizo zifanyiwe kazi. Miongoni mwa walio wasilisha kero zao ni wajasiriamali wengi ambao, mara kwa mara walikabiliana na masharti magumu kutoka kwa mamlaka.

Louis Amon ni mjasiriamali nchini Australia mwenye asili ya Tanzania, alizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya SBS nakuweka wazi hisia za wajasiriamali wakitanzania, na pigo ambalo wamepata kupitia kifo cha kipenzi chao.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now